Gwambina F.C.

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gwambina F.C. ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Tanzania iliyopo Mkoa wa Mwanza. Ilianzishwa mwaka 2019 ikafaulu kupanda juu na kuingia Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye mwaka 2020.[1]

Michezo yao ya nyumbani inachezwa kwenye Uwanja wa Gwambina.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. One-year-old Gwambina FC earn Mainland Premier League promotion, tovuti ya goal.com ya tar. ^28.06.2020, iliangaliwa Agosti 2020