Grande Hotel Beira

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Grande Hotel, Beira, Msumbiji

Grande Hotel Beira ilikuwa hoteli ya kifahari huko Beira, Msumbiji. Ilifunguliwa mnamo mwaka 1954 na kuendeshwa hadi 1974, ilipofungwa kwa sababu ya ukosefu wa wageni.

Jengo hilo lilitumika kama kituo cha kijeshi katika Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Msumbiji, na kwa sasa ina ukubwa zaidi ya mita za mraba 3,500. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Ivo, F. (2008) Estudo preliminar para a desocupação e demolição do Grande Hotel na Beira. Beira: Francisco M. Ivo Arquitecto