Grace Mapunda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Grace Mapunda
Nchi Tanzania
Majina mengine Grace Mapunda
Kazi yake mwigizaji wa filamu za kitanzania


Grace Mapunda (maarufu kama Mama Kawele) ni mwigizaji wa filamu za Tanzania (Swahiliwood), anayesifika kwa uwezo wake mkubwa wa kuigiza filamu za hisia na hii ni kutokana na kuwa makini katika kuwakilisha uhusika halisi japo anaonekana kuzipatia filamu za aina hiyo.[1]

Familia[hariri | hariri chanzo]

Grace Mapunda amebarikiwa kuwa na watoto wawili (Happiness pamoja na Ritha) ambao baba yao alifariki siku za nyuma. Happiness huiigiza na kuimba, aliwahi kuigiza na mama yake katika filamu ya Fake Smile. Ritha naye ni mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya.[2]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Filamu alizoigiza ni pamoja na House of death, hard price, nilindiwe, Kichupa, Majuto, Mwaka wa Hasara, chloroquine love, Chungu ya Nafsi, poor Minds, Jibu la ndoto, Back to life na zingine nyingi[3]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-10-31. Iliwekwa mnamo 2018-11-17. 
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-10-31. Iliwekwa mnamo 2018-11-17. 
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-10-31. Iliwekwa mnamo 2018-11-17. 
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Grace Mapunda kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.