Nenda kwa yaliyomo

Godwin Mawuru

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Godwin Mawuru (15 Julai 1961 - 24 Mei 2013) alikuwa mkurugenzi na mtayarishaji wa filamu wa Zimbabwe.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa Shamva, Mawuru alianza kazi yake ya kuigiza jukwaani miaka ya themanini, akifanya kazi katika maeneo anuwai ikiwa ni pamoja na kuigiza, kuongoza na kufanya kazi nyuma ya jukwaa.[1].Alicheza kwanza kama mkurugenzi katika filamu ya The Tree Is Mine mnamo mwaka 1987.[1] Anajulikana kimataifa kwa filamu ya Neria ya mwaka 1993.[2][3] Kama mtayarishaji, anajulikana sana kwenye soap opera ambayo ni ya kwanza na ndefu zaidi "Studio 263" ya Zimbabwe.[1]

Amefariki akiwa na miaka 51 tarehe 24 Mei mwaka 2013.[4]

  1. 1.0 1.1 1.2 "Studio 263 producer Godwin Mawuru dies". ZBC. 24 Mei 2013. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 30 Mei 2013.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "The changing face of Africa". The Washington Times. Aprili 9, 1993.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Avis L. Weathersbee (Novemba 12, 1993). "`Neria' Probes Zimbabwe's Awakening to Modern Culture". Chicago Sun-Times.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. "Zimbabwe: Filmmaker Mawuru Dies". AllAfrica. 27 Mei 2013. Iliwekwa mnamo 30 Mei 2013.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Godwin Mawuru kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.