Gladys Lengwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gladys Lengwe (kushoto) mnamo 2015

Gladys Lengwe (alizaliwa 6 Februari, 1978), ni mwamuzi wa mpira wa miguu wa kimataifa kutoka nchini Zambia. [1] [2]

Alikuwa mmoja wa waamuzi katika Kombe la Dunia la FIFA la Wanawake mwaka 2019 nchini Ufaransa. [3] [4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gladys Lengwe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.