George Bernard Shaw

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
George Bernard Shaw, 1912

George Bernard Shaw (26 Julai 18562 Novemba 1950) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ireland. Hasa aliandika tamthiliya na insha. Mwaka wa 1925 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu George Bernard Shaw kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.