Nenda kwa yaliyomo

Gabriele Giordano Caccia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Gabriele Giordano Caccia

Gabriele Giordano Caccia (alizaliwa 24 Februari 1958) ni askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Italia anayefanya kazi katika huduma za kidiplomasia za Vatikani. Amewahi kuhudumu katika ofisi za Sekretarieti ya Nchi na kuwa Balozi wa Papa nchini Lebanoni na Ufilipino. Mnamo mwaka 2019, aliteuliwa kuwa Mwakilishi wa Kudumu wa Vatikani katika Umoja wa Mataifa.[1]

  1. "The Pope sends his close associate as Nuncio in Lebanon". Zenit (kwa Kiitaliano). 16 Julai 2009. Iliwekwa mnamo 16 Novemba 2019.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.