Frankie Allen
Frankie Allen alizaliwa Aprili 7,1949. Alizaliwa Charlottesville, Virginia. Ni kocha katika chuo cha American Men's college basketball. Amewahi kuwa kocha mkuu katika chuo cha Virginia Tech, Tennessee na Howard.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |