Frank Almaguer

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Frank Almaguer (alizaliwa mwaka 1945) ni mwanadiplomasia mstaafu wa Marekani na Afisa katika Huduma za Kigeni. Amehudumu katika nyadhifa mbalimbali katika Vikosi vya Amani, Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa, Idara ya Serikali Marekani na Jumuiya ya Majimbo ya Marekani. [1]

Historia[hariri | hariri chanzo]

Almaguer alizaliwa jijini Holguin, Cuba na kukulia Miami, Florida.[2] Alipata Shahada ya kwanza ya Sanaa katika sayansi ya siasa kutoka Chuo Kikuu cha Florida mwaka 1967 na Shahada ya uzamili ya Sayansi katika utawala wa serikali kutoka Chuo Kikuu cha George Washington mwaka 1974. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Frank Almaguer kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.