Faten Hamama
Faten Hamama | |
---|---|
picha ya Faten Hamama, (alizaliwa 1931) mtayarishaji wa Misri na mwigizaji maarufu wa filamu, televisheni, na ukumbi wa michezo. | |
Amezaliwa | Faten Ahmed Hamama 27 Mei 1931 Mansoura,Misri |
Amekufa | 17 Januari 2015 Cairo,Misri |
Jina lingine | Mwanamke wa kwanza wa filamu za kiarabu na Misri |
Kazi yake | Mwigizaji na mtayarishaji |
Miaka ya kazi | 1940-2001 |
Faten Ahmed Hamama (27 Mei 1931 – 17 Januari 2015) alikuwa mwigizaji wa kike na mtayarishaji wa filamu nchini Misri.[1]
Alikuwa mke wa kwanza wa mkurugenzi wa filamu Ezz El-Dine Zulficar. Alionekana mara ya kwanza kwenye filamu mnamo 1939,wakati alipokuwa na umri wa miaka saba tu . Majukumu yake ya awali yalikuwa madogo, lakini shughuli na mafanikio yake ya taratibu yalimsaidia kumtambulisha kama mwigizaji mashuhuri wa Misri.Baadaye aliheshimiwa kama ikoni ya sinema misri. Mwaka 1996, filamu tisa ambazo alicheza zilichaguliwa katika filamu mia moja kwenye historia ya misri sinema wakaguzi wa filamu katika maonyesho ya kimataifa ya filamu la cairo .[2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Filmography". IMDb. Iliwekwa mnamo 23 November 2006. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ Abd al Min'em, Ghada. "Hamama, a revolution!" (kwa Kiarabu). Palestinian Cinema Group. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 14 October 2006. Iliwekwa mnamo 20 November 2006. Unknown parameter
|url-status=
ignored (help); More than one of|archiveurl=
na|archive-url=
specified (help); More than one of|accessdate=
na|access-date=
specified (help); More than one of|archivedate=
na|archive-date=
specified (help); Check date values in:|archivedate=, |accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Faten Hamama kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |