Nenda kwa yaliyomo

Falz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Folarin Falana (anajulikana zaidi kwa jina lake la kisanii Falz, alizaliwa 27 Oktoba 1990) ni rapa, mtunzi wa nyimbo na mwigizaji wa Nigeria ambaye alianza kazi yake akiwa katika shule ya upili baada ya kuungana na kikundi kiitwacho The School Boys.[1]

  1. Sherif, OS. "Falz Biography and Songs (Must Read)", NaijaQuest, 25 September 2015. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Falz kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.