Explosion

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Explosion
Explosion Cover
Studio album ya Loketo
Imetolewa 1989
Imerekodiwa 1988-1989
Aina Soukous
Lebo Jimmy's Production
Mtayarishaji Jimmy Houetinou
Wendo wa albamu za Loketo
"Trouble"
(1988)
"Explosion"
(1989)
"Super Soukous"
(1989)


"Explosion" ni jina la albamu ya tatu iliyotoka mwaka 1989 kutoka kwa kundi la muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Loketo. Albamu hii ni moja kati ya albamu bora kabisa za Loketo kama kundi. Nyimbo kali kutoka katika albamu hii ni pamoja na Extra-Ball, Douce Isabelle, Malou na Pardon.

Orodha ya nyimbo[hariri | hariri chanzo]

Zifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.

  • 1- Extra-Ball
  • 2 - Cyndi
  • 3 - Pardon
  • 4 - Douce Isabelle
  • 5 - Malou
  • 6 - Tcheke Linha

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]