Eulampi na Eulampia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo wa kifodini chao.

Eulampi na Eulampia (waliuawa Nikomedia, leo nchini Uturuki, 310 hivi) walikuwa kaka na dada wa mji huo waliofia dini ya Kikristo katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano [1].

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 10 Oktoba.[2]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/93017
  2. Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001, ISBN|88-209-7210-7)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.