Ethiopia, furahi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ityoṗya hoy des ybelish ( Amharic ), "Ethiopia, Furahi" ulikuwa wimbo wa taifa wa Ethiopia wakati wa utawala wa Maliki Haile Selassie wa Kwanza . Wimbo huo ulitungwa na Kevork Nalbandian mnamo mwaka 1926, wimbo huo uliimbwa kwa mara ya kwanza wakati wa kutawazwa kwa Mfalme mnamo Novemba 2, 1930. Ulisalia kuwa wimbo wa taifa hadi Mfalme alipopinduliwa na serikali ya Derg mnamo 1974 na kuachiliwa mwaka uliofuata. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Ethiopia (1930-1975)". nationalanthems.info (kwa en-US). 2013-01-16. Iliwekwa mnamo 2016-05-19.