Esterina Julio Kilasi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Esterina Julio Kilasi (amezaliwa tarehe 23 Mei 1957) ni mbunge wa jimbo la Mbarali katika bunge la taifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Esterina Julio Kilasi". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.