Nenda kwa yaliyomo

Erlangen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Chuo Kikuu cha Erlangen-Nürnberg

Erlangen ni mji wa Bavaria nchini Ujerumani. Iko kando ya mto Regnitz. Idadi ya wakazi wake ni takriban 105,554. Mji ulianzishwa 1002.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Erlangen kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.