Nenda kwa yaliyomo

Erick Mutai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Erick Mutai (alizaliwa 28 Desemba 1983) ni mwanasiasa wa Kenya na msomi kutoka chuo kikuu cha Embu, gavana mteule katika kaunti ya Kericho, Kenya. Erick Mutai ni mwanachama wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) na mhitimu wa Chuo Kikuu cha Maseno na chuo kikuu cha Kabianga.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Meet Erick Mutai, the man who fell political giants in Kericho".