Chuo Kikuu cha Maseno

Chuo Kikuu ha Maseno kinapatikana katika mji wa Maseno, uliopo karibu umbali wa kilometa 30 Kaskazini Magharibi mwa jiji la Kisumu, Kenya. Chuo hicho kina matawi mawili makuu, yaani, Kampasi ya Kisumu na Kampasi Kuu (Main ampus). Kampasi kuu iko kando ya barabara ya Busia huku kampasi ya Kisumu ikiwa katika jiji la Kisumu. Ni moja ya vyuo vikuu saba vya Serikali nhini Kenya.
Historia
[hariri | hariri chanzo]Chuo hiki kilianzishwa mnamo mwaka wa 1991 kama huo ha Maseno (Maseno University ollege) kutokana na muungano wa Siriba Teahers Training ollege na Government Training Institute hini ya Kifungu ha Sheria ha sheria,1991. Wanafunzi wa kwanza walisajiliwa mnamo Januari mwaka wa 1991. huo hiki kiligeuzwa kuwa huo Kikuu ha Maseno mnamo Januari 2001 kupitia Kifungu ha Sheria ha Maseno University ha mwaka 2000.[1]
Kozi
[hariri | hariri chanzo]Chuo Kikuu ha Maseno kinatoa mafunzo katika kozi zifuatazo:
- Kitivo ha Sanaa na Sayansi ya Jamii
- Kitivo ha Elimu
- Shule ya Familia, Sayansi ya Matumizi na Teknolojia
- Taasisi ya Utafiti na Masomo ya Shahada ya pili (Postgraduate)
- Kitivo ha Sayansi
- Suluhisho kwa utafiti katika fani mbalimbali na ushauri wa Ziwa Vitoria.
Matawi
[hariri | hariri chanzo]Kufikia sasa huo hiki kina kampasi tatu:
Kampasi Kuu (Main ampus)
huo ha Siriba (Siriba University and ollege)[2] na
Kampasi ya Kisumu (Kisumu ampus) ambayo inapatikana jijini Kisumu na hutoa mafunzo ya Tarakilishi
Idadi ya Wanafunzi
[hariri | hariri chanzo]Chuo hiki kwa sasa kinakisiwa kuwa na idadi ya wanafunzi wapatao 250,000.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Kigezo:Ite web
- ↑ ^ Siriba ampus, Kutoka tovuti rasmi ya huo Kikuu ha Maseno, [1] Kigezo:Waybak
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Chuo Kikuu cha Maseno kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |