Eminem

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Eminem
Eminem mnamo Novemba 2014
Eminem mnamo Novemba 2014
Jina Kamili {{{jina kamili}}}
Jina la kisanii Eminem
Nchi Marekani
Alizaliwa 17 Oktoba 1972 (1972-10-17) (umri 51)
Aina ya muziki Hip Hop
Gangsta Rap
Midwest Hip Hop
Detroit Hip Hop
Horrorcore

Hardcore Hip Hop
Rapcore
Kazi yake Rapa
Mwigizaji
Mtayarishaji
Miaka ya kazi 1995-hadi leo
Ameshirikiana na D12
Dr. Dre
The Alchemist
T.I.
50 Cent
Stat Quo
Bobby Creekwater
Cashis
Akon
Obie Trice
Ala Sauti
Kinanda
Kampuni Mashin' Duck
Web
Aftermath
Interscope
Shady

Marshall Bruce Mathers III (anafahamika zaidi kama Eminem na Slim Shady; amezaliwa 17 Oktoba 1972) ni mshindi wa tuzo ya Academy na tuzo nyinginyingi za Grammy-msanii bora wa muziki wa rap wa Kimarekani. Amewahi kuuza albamu zake zaidi ya milioni sabini kwa hesabu ya dunia nzima.

Pia ni miongoni mwa wanamuziki waliokuwa na mauzo ya juu kabisa katika kipindi cha miaka ya 2000. Kuimba kwake kisela-sela na kuihusia jamii ya watu wa chini kumemfanya pia awe na mauzo ya juu na kuwa kama msanii bora wa muda wote. Eminem aligunduliwa na rappa vilevile mtayarishaji wa muziki wa Kimarekani Bw. Dr. Dre, ambaye baadaye alimwingiza Eminem katika studio yake ya kurekodia muziki-Aftermath Entertainment.

Albamu zake[hariri | hariri chanzo]

Eminem ana albamu 7 ambazo ziko chini yake na zilitolewa dunia nzima. Albamu hizo ni:

  • Infinite
  • The Slim Shady LP
  • The Marshall Mathers LP
  • The Eminem Show
  • Encore
  • Curtain Call: The Hits
  • Eminem Presents the Re-Up
  • Relapse
  • Recovery

Kwa sasa anafanyia kazi albamu mpya iitwayo:

  • King Mathers

Vilevile alitoa albamu mbili alizoshrikiana na kikundi chake cha muziki cha D12:

  • Devil's Night
  • D12 World
  • Haijapewa jina bado inakuja

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Eminem kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.