Ellen Burka
Mandhari
| Ellen Burka | |
Burka mnamo mwaka 1990 | |
| Amezaliwa | Agosti 11, 1921 Amsterdam, Netherland |
|---|---|
| Amekufa | Septemba 12, 2016 |
| Nchi | Netherlands |
| Majina mengine | Ellen Danby |
| Kazi yake | Mwanamichezo wa skater na kocha |
Ellen Burka CM ( 11 Agosti 1921 - 12 Septemba 2016) anajulikana kama Danby ni mwanamichezo wa densi ya barafu na kocha kutoka Kanada na Uholanzi. Alijiunga na Oda ya kanada mwaka 1978 na kuteuliwa katika Ukumbi wa Watu Maarufu wa Michezo ya kanada mwaka 1996.[1]