Ekbatana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mabaki ya Ekbatana ndani ya Hamadan

Ekbatana (pia Ecbatana; kwa Kifarsi: هگمتانه hagmatane) ni mji wa kihistoria katika Uajemi. Leo hii iko ndani ya eneo la mji wa Hamadan.

Kufuatana na taarifa ya Herodoti ilikuwa mji mkuu wa Astyages, mfalme wa mwisho wa Umedi na baada ya uvamizi wa Koreshi Mkuu mmoja kati ya miji mikuu miwili ya mfalme huyo. [1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Ecbatana". Encyclopædia Britannica. Encyclopædia Britannica.
  2. "Ecbatana". The American Heritage Dictionary of the English Language. Houghton Mifflin. 2009. http://www.thefreedictionary.com/Ecbatana. Retrieved 2011-11-27.
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ekbatana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.