Edmonton

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Edmonton, Kanada






Edmonton

Bendera
Edmonton is located in Kanada
Edmonton
Edmonton

Mahali pa Edmonton katika Kanada

Majiranukta: 53°34′00″N 113°31′26″W / 53.56667°N 113.52389°W / 53.56667; -113.52389
Nchi Kanada
Mkoa Alberta
Wilaya Edmonton Capital Region
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 730,372
Tovuti:  http://www.edmonton.ca/

Edmonton ndiyo mji mkuu na mji mkubwa wa kwanza katika mkoa la Alberta, upande wa kati ya mkoa huu. Idadi ya wakazi ni 730,372 na eneo lake ni 684.37 m. Umbali na Calgary ni 277 km.

Mji ulianzishwa mwaka 1795.


Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Edmonton kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.