Calgary

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Calgary, Alberta






Calgary

Bendera
Calgary is located in Alberta
Calgary
Calgary

Mahali pa mji wa Calgary katika Alberta

Majiranukta: 51°02′42″N 114°03′26″W / 51.04500°N 114.05722°W / 51.04500; -114.05722
Nchi Kanada
Jimbo Alberta
Wilaya Calgary
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,042,892
Tovuti:  www.calgary.ca

Calgary ndiyo mji mkubwa katika jimbo wa Alberta. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.2 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 1048 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Flag Canadian template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Kanada bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Calgary kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.