Edistiana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dola la Roma - Africa Proconsularis (125 AD)

Edistiana ulikuwa mji wa kale wa Waroma na Waberber mkoa wa Africa Proconsularis katika zama za mwisho za Byzacena. Hiyo sehemu ipo Tunisia kwa sasa. Zamani ilikuwa dayosisi ya Kanisa Katoliki.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]