Dokoa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Katika utarakilishi, dokoa (kwa Kiingereza: nudge) ni kipengele cha programu ya ujumbe papo kinachotumika ili kupata uangalifu wa mtumiaji mwingine. Dokoa inaweza kuwa mlio mmoja au tetemeko la dirisha.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).