Cristallo (mlima)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Cristallo, upande wa Kusini

Cristallo (mlima) ni mlima wa Alpi katika nchi ya Italia (Ulaya Kusini).

Urefu wake ni mita 3,221 juu ya usawa wa bahari, hivyo ni wa tano kati ya milima yote ya Dolomiti.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]