Dolomiti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mandhari kutoka Pordoi.
Milima Tofana

Dolomiti ni safu ya milima iliyo sehemu ya Alpi.

Milima hiyo inapatikana Italia Kaskazini katika wilaya za Belluno, Trento na Bolzano/Bozen.

Ni maarufu kwa madini yake[1] lakini hasa kwa uzuri wake unaovutia watalii wengi.

Mnamo Agosti 2009, UNESCO iliitangaza kuwa urithi wa dunia.

Vilele virefu zaidi[hariri | hariri chanzo]

Jina mita futi Jina mita futi
Marmolada 3,343 10,968 Pala di San Martino 2,982 9,831
Antelao 3,264 10,706 Rosengartenspitze / Catinaccio 2,981 9,781
Tofana di Mezzo 3,241 10,633 Cima di Fradusta 2,941 9,715
Sorapiss 3,229 10,594 Cimon del Froppa 2,932 9,649
Cristallo 3,221 10,568 Monte Agnèr 2,872 9,416
Monte Civetta 3,220 10,564 Fermedaturm 2,867 9,407
Cima di Vezzana 3,192 10,470 Cima d'Asta 2,848 9,344
Cimon della Pala 3,184 10,453 Cima di Canali 2,846 9,338
Langkofel / Sassolungo 3,181 10,427 Croda Grande 2,839 9,315
Monte Pelmo 3,168 10,397 Vajoletturm / Torri del Vajolet (cha juu) 2,821 9,256
Dreischusterspitze 3,162 10,375 Sass Maor 2,816 9,239
Boespitze / Piz Boè (Sella) 3,152 10,342 Cima di Ball 2,783 9,131
Hohe Gaisl (Croda Rossa d'Ampezzo) 3,148 10,329 Cima della Madonna (Sass Maor) 2,751 9,026
Vernel 3,145 10,319 Rosetta 2,741 8,993
Piz Popena 3,143 10,312 Croda da Lago 2,716 8,911
Grohmannspitze (Langkofel) 3,126 10,256 Grasleitenspitze ya kati 2,705 8,875
Zwölferkofel 3,094 10,151 Schlern 2,562 8,406
Elferkofel 3,092 10,144 Sasso di Mur 2,554 8,380
Sass Rigais (Geislerspitzen) 3,025 9,925 Cima delle Dodici 2,338 7,671
Kesselkogel (Rosengarten) 3,004 9,856 Monte Pavione 2,336 7,664
Tre Cime di Lavaredo (Drei Zinnen) 2,999 9,839 Cima Palon 2,239 7,346
Fünffingerspitze 2,997 9,833 Cima di Posta 2,235 7,333

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The Dolomites, also known as the "Pale Mountains", take their name from the carbonate rock dolomite, itself named for 18th-century French mineralogist Déodat Gratet de Dolomieu (1750–1801), who was the first to describe the mineral.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Dolomiti kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.