Chamchanga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chamchanga
Chamchanga miguu-kijani
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Charadriiformes (Ndege kama vitwitwi)
Familia: Scolopacidae (Ndege walio na mnasaba na sululu)
Jenasi: Actitis Illiger, 1811

Tringa Linnaeus, 1758
Xenus Kaup, 1829

Chamchanga ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia ya Scolopacidae. Chamchanga tumbo-jeupe huitwa kiulimazi kwa kawaida. Ndege hawa ni weusi au kahawia na weupe, na wana domo refu na miguu mirefu na myembamba. Huonekana kandi ya bahari, viziwa au mito ambapo hukamata wadudu, gegereka hata samaki wadogo. Hutaga mayai 3-5 ardhini mahali majimaji.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]