Catanzaro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muonekano wa mji wa Catanzaro

Catanzaro ni makao makuu ya wilaya yenye jina hilohilo na ya mkoa wa Calabria, Italia Kusini.

Mji huo una wakazi 88,457 (2019), hivyo ni wa pili mkoani.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Catanzaro kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.