Bwana Mwengo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bwana Mwengo
Jina la kuzaliwa Bwana Mwengo
Alizaliwa Karne ya 17
Alikufa Karne ya 18
Nchi Kenya
Kazi yake Mwandishi

Bwana Mwengo (Siu, karne ya 17 - Pate, karne ya 18) alikuwa mshairi, mwandishi katika usultani wa Pate. Aliandika ushairi na hadithi zake kwa Kiswahili.

Alijulikana kwa kuandika Chuo cha Utendi na Utendi wa Tambuka.

Maisha yake[hariri | hariri chanzo]

Aliandika vitabu vyake kwa sultani wa Pate. Jina lake linaonyesha alikuwa Mwafrika, tena wa Kibantu.

Vitabu vyake[hariri | hariri chanzo]

  • Chuo cha Utendi
  • Utendi wa Tambuka

Mistari ya Utendi wa Tambuka[hariri | hariri chanzo]

Farasi wakwe usoni

Ali kiwaa yakini

Kiasikye fahamuni

Dirihamu kufania

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Knappert, J. (1982). Four Centuries of Swahili Verse.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bwana Mwengo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.