Bremerhaven

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bremerhaven mnamo Julai 2013

Bremerhaven ni mji wa jimbo la Bremen nchini Ujerumani.

Iko mdomoni mwa mto Weser kwenye mwambao wa Bahari ya Kaskazini, na ni bandari muhimu ya Ujerumani.

Wakazi wake ni 113,634 (mwishoni mwa 2018).

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bremerhaven kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.