Mto Weser

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ikionyesha Mto Weser na matawimto yake kwa rangi ya buluu, mingine kwa rangi ya kijivu.
Mdomo wa mto Weser katikati ya ramani ya dunia.

Mto Weser unapatikana Ujerumani Kaskazini Magharibi wenye urefu wa km. 744 ukihesabiwa pamoja na matawimto yake.

Unapitia Bremen na km. 50 baadaye unaingia katika Bahari ya Kaskazini.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Weser kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.