Betri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Betri mbalimbali zilizopangwa kwa jozi.
Alama wakilishi ya betri.

Betri (kutoka Kiingereza: "battery") ni kifaa kinachotumika kutunza chaji ya umeme kwa muda fulani.

Ilibuniwa na Mwitalia Alessandro Volta mnamo 1800.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.