Betri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Betri mbalimbali zilizopangwa kwa jozi.
Alama wakilishi ya betri.

Betri (kutoka Kiingereza: "battery") ni kifaa kinachotumika kutunza chaji ya umeme kwa muda fulani.

Ilibuniwa na Mwitalia Alessandro Volta mnamo 1800.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: