Bertram Brockhouse
Bertram Brockhouse (15 Julai 1918 - 13 Oktoba 2003) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Kanada. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1994, pamoja na Clifford Shull alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
![]() |
Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bertram Brockhouse kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |