Batuli (mwigizaji)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yobnesh Yusuph Hassan (maarufu kama Batuli au Nesh Adan.; alizaliwa Mwanza, 1 Februari 1986) ni mwigizaji kutoka Tanzania[1] Ameonekana katika filamu zaidi ya kumi ambazo zimehusisha waigizaji maarafu Steven Kanumba na Vincent Kigosi.

Batuli ana mtoto mmoja.[2]alianza kazi yake ya uigizaji mnamo mwaka 2000.

Filamu[hariri | hariri chanzo]

Movie title Role Ref.
Ndoa Ya Utata Batuli [1][3][4][5]
Bad Luck
5 Days Family
Ramadhan
Kazi yangu
Waves Of Sarrow
Fungate
Get Out
The Glory Of Ramadhan
My Fiance
Ripples Of Tears
Machozi
Shobo Dundo [6]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 "Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ | Actor, — Bongo Movies - Buy Tanzania Movies and DVD's Online". www.bongocinema.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-11-17. Iliwekwa mnamo 2017-10-10.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
  2. "Usiyoyajua Kuhusu Batuli", JamiiForums | The Home of Great Thinkers. (en-US) 
  3. "Bongo Movie Haijafa- Batuli", Artists News in Tanzania, 2016-09-20. (en-US) 
  4. "Waafrika wanaowania Ballon d’Or 2017", Bongo5.com. (en-us) 
  5. "FILAMU: Tazama dakika 25 za movie mpya ya Tajiri Mfupi aliyemzimia Mrembo Batuli – millardayo.com". (en-US) 
  6. "Shobo Dundo zaachiwa". www.dstv.com (kwa Kiingereza). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-10-10. Iliwekwa mnamo 2017-10-10.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]