Basbasi
Mandhari
(Elekezwa kutoka Basibasi)

Basbasi (pia: basibasi) ni ngozi ngumu iliyomo katika tunda dogo la aina ya kungumanga.
Pia ni kiungo cha chakula au kitoweo chenye ladha ya kuwashawasha.
Ni kati ya mazao maarufu ya Zanzibar.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |