Basbasi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Basibasi)
Tunda la mkungumanga na jozi lake, katikati ni kungumanga yenyewe.

Basbasi (pia: basibasi) ni ngozi ngumu iliyomo katika tunda dogo la aina ya kungumanga.

Pia ni kiungo cha chakula au kitoweo chenye ladha ya kuwashawasha.

Ni kati ya mazao maarufu ya Zanzibar.