Athari za vita kwa watoto
Mandhari
Athari za vita kwa watoto ni majeraha ya kimwili na kiakili kutokana na mapigano.
Idadi ya watoto katika maeneo ya vita ni takribani milioni 250.[1]
Migogoro ya kisilaha, inaelezwa katika namna mbili:
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Conflict". UNICEF USA (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-11-30.
- ↑ "How is the term "Armed Conflict" defined in international humanitarian law? - ICRC". www.icrc.org (kwa American English). 2008-03-17. Iliwekwa mnamo 2023-03-12.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |