Atanasia Karoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muuguzi
Atanasia Karoli
UtaifaMtanzania
ElimuShule ya Sekondari ya Wasichana Kifungilo (Kifungilo Girls' Secondary School)
MhitimuShahada ya umahiri
Shahada ya uzamili
Kazi yakeMuuguzi Mkuu
MwajiriHospitali ya Kibong'oto
DiniMkristo
NduguNoel Salekwa
John Mrosso

Hospitali ya Kibong'oto

mhitimu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili
taaluma Muuguzi
kamati Mjumbe Hospitali ya Kibong'oto Tanzania

Atanasia Karoli (alizaliwa Kilimanjaro, Tanzania) ni Muuguzi mkuu wa hospitali ya Rufani ya taifa ya magonjwa ambukizi ya Kibong'oto nchini Tanzania.[1] [2] [3] [4] [5] Pia aliteuliwa kuwa mjumbe wa timu ya uendeshaji katika hospitali maalumu ya tiba ya magonjwa ambukizi Kibong'oto wilayani Siha mkoa wa Kilimanjaro. [6] [7] [8]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. University, Suez Canal. "Tanzania and Egypt in a joint cooperation protocol between the two sides.", List Members, Suez Canal University, Ismailia, Egypt., 16 June 2015. 
  2. Infectious Diseases Hospital, Kibong'oto [@OtoKibong] (11 Februari 2022). "Mkurugenzi wa Hospitali Maalum ya Tiba ya Magonjwa ambukizi Kibong’oto Dkt.Leonard Subi akiwa na Katibu wa Afya Bi.Bernada Msase na Muuguzi Mkuu wa Hospitali Bi.Atanasia Karoli wakati wa kikao cha Wafanyakazi  wa Hospitali maalum ya Magonjwa ambukizi Kibong’oto." (Tweet). Iliwekwa mnamo 5 Juni 2023 – kutoka Twitter. 
  3. "Kibong'oto yawataka watumishi wake kufanya uchunguzi wa afya zao" (kwa Kiswahili). 21 Oktoba 2021. Iliwekwa mnamo Juni 5, 2023.  Check date values in: |date= (help)
  4. "Kibong'oto kutoa chanjo ya homa ya ini kwa watumishi" (kwa Kiswahili). 23 Oktoba 2022. Iliwekwa mnamo Juni 5, 2023.  Check date values in: |date= (help)
  5. Muuguzi Mkuu apokea zawadi kutoka Kampuni ya Bonite Bottlers Kilimanjaro, ambayo imetoa zawadi ya Krismasi na Mwaka mpya 2019 kwa wagonjwa wa Hospitali ya magonjwa ambukizi Kibong’oto 11 Januari 2019
  6. Kibong'oto, Hospitali ya [@OtoKibong] (7 Mei 2022). "Mkurugenzi Mkuu wa NIMR Tanzania na Mkurugenzi wa NIMR  tawi la Mbeya ambaye pia ni mjume wa Bodi ya Ushauri ya Hospitali Maalum ya Tiba ya Magonjwa Ambukizi Kibong'oto wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa timu ya uendeshaji ya Hospitali." (Tweet). Iliwekwa mnamo 5 Juni 2023 – kutoka Twitter. 
  7. "Napambana na kifua kikuu, jiunge nasi sasa." (kwa Kiswahili). Iliwekwa mnamo Juni 5, 2023. 
  8. "Historia ya Udhibiti wa Kifua Kikuu Ulimwenguni ikijulikana kupitia Kumbukumbu za Ndani" (kwa Kiingereza). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-07-14. Iliwekwa mnamo Juni 5, 2023.  More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Atanasia Karoli kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.