Askofu wa jimbo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Askofu wa jimbo ni askofu ambayo anachunga kwa mamlaka kamili jimbo fulani. Kwa msingi huo anatofautiana na askofu mwandamizi, askofu msaidizi n.k.

Katika Kanisa Katoliki[1]ni kazi yake kufundisha, kutakasa na kuongoza waamini wote wa jimbo lake [2]akisaidiwa na mapadri na mashemasi.[3]

Footnotes[hariri | hariri chanzo]

  1. "Canon 376". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009.  Unknown parameter |dateformat= ignored (help)
  2. "Canon 369". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009.  Unknown parameter |dateformat= ignored (help)
  3. "Canon 381". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009.  Unknown parameter |dateformat= ignored (help)