Askofu wa jimbo
Askofu wa jimbo ni askofu ambayo anachunga kwa mamlaka kamili jimbo fulani. Kwa msingi huo anatofautiana na askofu mwandamizi, askofu msaidizi n.k.
Katika Kanisa Katoliki[1]ni kazi yake kufundisha, kutakasa na kuongoza waamini wote wa jimbo lake [2]akisaidiwa na mapadri na mashemasi.[3]
Footnotes[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Canon 376". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009. Unknown parameter
|dateformat=
ignored (help) - ↑ "Canon 369". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009. Unknown parameter
|dateformat=
ignored (help) - ↑ "Canon 381". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009. Unknown parameter
|dateformat=
ignored (help)