Asia ya Kaskazini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kanda za Asia (buluu: Kaskazini)

Asia ya Kaskazini ni kanda ya kaskazini ya bara la Asia. Kuna maelezo ya kutofautiana lakini kwa jumla ni sehemu kubwa ya Siberia au sehemu ya Kiasia ya Urusi.

Wengine wanahesabu Mongolia humo.

Tazama pia