Nenda kwa yaliyomo

Ashatu Kachwamba Kijaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Ashatu Kijaji)

Ashatu Kachwamba Kijaji (amezaliwa 26 Aprili 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kondoa kwa miaka 20152020. [1]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ashatu Kachwamba Kijaji kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.