Ashatu Kachwamba Kijaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Ashatu Kijaji)

Ashatu Kachwamba Kijaji (amezaliwa 26 Aprili 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kondoa kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017