Aquae (Byzacena)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dola la Roma - Africa Proconsularis (125 AD)

Aquae (Byzacena) ilikuwa dayosisi ya zamani ya Kanisa Katoliki ambayo baada ya kufa ilibaki chini ya uangalizi wa kiaskofu katika jimbo la Byzacena (jimbo la zamani la dola la Roma).[1]

Dayosisi hii pia ilikuwa mji katika dola la Roma ambapo kwa sasa eneo hilo linasadikika kuwa El Hamma kwa Tunisia ya sasa.[2]

Mpaka sasa dayosisi hii inaendeshwa chini ya uangalizi wa kiaskofu [3][4] na askofu wa sasa ni Nicolai Dubinin, askofu msaidizi wa Jimbo kuu Katoliki la Moscow[5]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Pius Bonifacius Gams, Series episcoporum Ecclesiae Catholicae, (Leipzig, 1931), p.464.
  2. Titular Episcopal See of Aquæ in Byzacena, atGCatholic.org.
  3. Aquae in Byzacena, at catholic-hierarchy.org.
  4. Titular Episcopal See of Aquæ in Byzacena, atGCatholic.org.
  5. Le Petit Episcopologe, Issue 222, Number 18,376.