Antelao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Antelao, upande wa Magharibi

Antelao ni mlima wa Alpi katika nchi ya Italia (Ulaya Kusini).

Urefu wake ni mita 3,264 juu ya usawa wa bahari, hivyo na wa pili kati ya milima yote ya Dolomiti.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]