Andriy Lunin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Andriy Lunin
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaUkraine Hariri
Nchi anayoitumikiaUkraine Hariri
Jina katika lugha mamaАндрій Олексійович Лунін Hariri
Jina halisiAndriy Hariri
Jina la familiaLunin Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa11 Februari 1999 Hariri
Mahali alipozaliwaKrasnohrad Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKiukraine, Kiingereza, Kihispania, Kirusi Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timugoalkeeper Hariri
Muda wa kazi2016 Hariri
Mwanachama wa timu ya michezoReal Madrid Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Tuzo iliyopokelewaOrder of Merit (Ukraine), 3rd class Hariri

Andriy Oleksiyovych Lunin (alizaliwa 11 Februari 1999) ni mchezaji wa soka ambaye anacheza kama kipa wa klabu iliyopo nchini Hispania ya Real Madrid, na timu ya taifa ya Ukraina.

Kazi ya klabu[hariri | hariri chanzo]

Real Madrid[hariri | hariri chanzo]

Tarehe 19 Juni 2018, Real Madrid ilifikia makubaliano na Lunin kusaini katika klabu hiyo kwa milioni 8.5 na mpango wa nyongeza wa milioni 5.

Mpango huo ulihitimishwa siku nne baadaye, na akawa mchezaji wa kwanza kuichezea klabu hiyo kutoka ukraine.Mnamo 27 Agosti 2018, alikopwa na kwenda katika klabu ya karibu iitwayo CD Leganés, kwa msimu huo.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Andriy Lunin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.