Nenda kwa yaliyomo

Andrenette Knight

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Andrenette Knight (alizaliwa 19 Novemba 1996) ni mwanariadha nchini Jamaika ambaye alishiriki zaidi katika mashindano ya kuruka viunzi ya mita 400.[1]

  1. "A.Knight".
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Andrenette Knight kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.