Amy Rodgers

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rodgers akichezea London City mnamo 2021

Amy Mae Rodgers (alizaliwa 4 Mei 2000) ni mchezaji wa mpira wa miguu ambae anacheza nafasi ya kiungo katika klabu ya Bristol City inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake (WSL)[1] na timu ya taifa ya Uskoti.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Wilf Frith (2023-07-04). "Bristol City Women sign Scotland international Amy Rodgers - SheKicks". shekicks.net (kwa en-GB). Iliwekwa mnamo 2024-04-27. [dead link]
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Amy Rodgers kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.