Amonia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Amonia molekuli

Amonia ni kampaundi ya nitrojeni na hidrojeni yenye fomula NH3. Ni bidhaa muhimu viwandani. Mwaka 2006, uzalishaji duniani ulifika tani milioni 146.5. [1] Ingawa amonia hupatikana sana katika uasilia na hutumika kila mahali, kemikali hii ni caustic na madhara katika fomu yake isiyochujuka. Katika kaya hutumika kusafisha vyombo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. name=Ullmann>Max Appl (2006). Ammonia, in Ullmann's Encyclopedia of Industrial Chemistry. Weinheim: Wiley-VCH. doi:10.1002/14356007.a02_143.pub2. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Amonia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.