Ambai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Parque_Ambaí

Ambai ni funguvisiwa la Indonesia. Watu wakaao visiwani huku huongea lugha ya Kiambai.

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ambai kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.