Ali Tarab Ali
Ali Tarab Ali (amezaliwa 20 Julai 1947) ni Mbunge wa jimbo la Konde katika Bunge la Tanzania tangu 2005[1] Anatokea katika chama cha CUF.
Alipata shahada ya udaktari katika mada ya biokemia kutoka chuo Kikuu cha Kharkov, Urusi, mwaka wa 1984.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mengi kuhusu Ali Ali Tarab (19 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2012-05-24. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Chanzo[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
![]() |
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |