Ali Tarab Ali
Ali Tarab Ali (amezaliwa 20 Julai 1947) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania tangu 2005. Alipata shahada ya udaktari katika mada ya biokemia kutoka chuo Kikuu cha Kharkov, Urusi, mwaka wa 1984.
Chanzo[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
![]() |
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |