Ali Attoui

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ali Attoui (amezaliwa 21 Januari 1942 huko Annaba) ni mchezaji wa soka wa kimataifa wa Algeria aliyestaafu.

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Attoui alitumikia muda mwingi wa kazi yake kwenye timu ya Hamra Annaba, na muda mfupi akiwa na As Bõne,na JBAC Bõne.Pia aliiwakilisha Algeria kwenye kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 1968.

Heshima[hariri | hariri chanzo]

Alikuwa moja ya wachezaji walioshinda kombe la Algeria mwaka 1972.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ali Attoui kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.